Psalms 19:1-4
Utukufu Wa Mungu Katika Uumbaji
(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi)
1 aMbingu zinatangaza utukufu wa Mungu,
anga zahubiri kazi ya mikono yake.
2 bSiku baada ya siku zinatoa habari,
usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
3 Hakuna msemo wala lugha,
ambapo sauti zao hazisikiki.
4 cSauti yao imeenea duniani pote,
nayo maneno yao yameenea
hadi miisho ya ulimwengu.
Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,
Copyright information for
SwhKC